newsare.net
Iringa. Shirikisho la vyama vya tiba asili Tanzania, limepiga marufuku waganga wa tiba za asili kufanya shughuli zao barabarani na kwenye nyumba za kulala wageni ili kuepusha udanganyifu na vitendo vya uhalifu kama ubakaji na mauaji.Tiba asili za barabarani zapigwa marufuku Iringa
Iringa. Shirikisho la vyama vya tiba asili Tanzania, limepiga marufuku waganga wa tiba za asili kufanya shughuli zao barabarani na kwenye nyumba za kulala wageni ili kuepusha udanganyifu na vitendo vya uhalifu kama ubakaji na mauaji. Read more