newsare.net
Serengeti. Mtumishi wa Hifadhi ya Wanyamapori ya Ikona, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wilaya ya Serengeti kwa kosa la kukutwa na nyama ya nyumbu.Nyama ya nyumbu yampandisha kortini mtumishi wa hifadhi ya Ikona
Serengeti. Mtumishi wa Hifadhi ya Wanyamapori ya Ikona, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wilaya ya Serengeti kwa kosa la kukutwa na nyama ya nyumbu. Read more