newsare.net
Wakati Jeshi la Polisi Wilaya ya Kinondoni nchini Tanzania likisisitiza kumuhitaji kiongozi wa chama cha upinzani cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kwa ajili ya kumhoji, chama hicho kimesema kiongozi wao huyo hawezi kuitikia wito huo kwa kuwa si rasmi.ACT-Wazalendo wasema Zitto Kabwe ataripoti polisi kwa wito maalum
Wakati Jeshi la Polisi Wilaya ya Kinondoni nchini Tanzania likisisitiza kumuhitaji kiongozi wa chama cha upinzani cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kwa ajili ya kumhoji, chama hicho kimesema kiongozi wao huyo hawezi kuitikia wito huo kwa kuwa si rasmi. Read more