newsare.net
Eneo lililotolewa mwaka 1969 na wanakijiji wa Kihesa Mgagao, Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa kwa ajili ya wapigania uhuru wa Kusini mwa Afrika, sasa limegeuzwa gereza lakini wananchi wanataka eneo hilo liwe kituo cha kumbukumbu ya historia au chuo.Jinsi kambi ya wapigania uhuru ya Mgagao Iringa ilivyogeuzwa gereza
Eneo lililotolewa mwaka 1969 na wanakijiji wa Kihesa Mgagao, Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa kwa ajili ya wapigania uhuru wa Kusini mwa Afrika, sasa limegeuzwa gereza lakini wananchi wanataka eneo hilo liwe kituo cha kumbukumbu ya historia au chuo. Read more