newsare.net
“Bila ya umoja, Afrika haitakuwa na mafanikio ya baadaye.” Kauli hii iliyotolewa na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere ndiyo wanayoiishi nchi 16 wanachama wa Jumuiya ya maendeleo ya Kusini mwa Afrika (Sadc) waliokutana jijini Dar es SalaaBila ushiriki wa Tanzania Sadc isingekuwapo
“Bila ya umoja, Afrika haitakuwa na mafanikio ya baadaye.” Kauli hii iliyotolewa na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere ndiyo wanayoiishi nchi 16 wanachama wa Jumuiya ya maendeleo ya Kusini mwa Afrika (Sadc) waliokutana jijini Dar es Salaam katika mkutano wa 39 wa viongozi wa nchi na Serikali. Read more