newsare.net
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam nchini Tanzania imeonyeshwa ushahidi wa video uliowasilishwa na shahidi wa sita katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema akiwemo mwenyekiti wake, Freeman Mbowe.Mahakama ilivyoonyeshwa video kesi ya kina Mbowe
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam nchini Tanzania imeonyeshwa ushahidi wa video uliowasilishwa na shahidi wa sita katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema akiwemo mwenyekiti wake, Freeman Mbowe. Read more