newsare.net
Polisi mkoani Arusha nchini Tanzania limemkamata na kumuhoji Salim Ibrahim (56) ambaye ni baba wa mwanafunzi, Faisal Salimu (19) aliyejiua kwa kujipiga risasi jana Jumapili alfajiri Agosti 18,2019.Polisi Tanzania yamhoji baba wa mwanafunzi aliyejiua kwa risasi
Polisi mkoani Arusha nchini Tanzania limemkamata na kumuhoji Salim Ibrahim (56) ambaye ni baba wa mwanafunzi, Faisal Salimu (19) aliyejiua kwa kujipiga risasi jana Jumapili alfajiri Agosti 18,2019. Read more