newsare.net
Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk Philip Mpango ameeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa wafanyakazi katika wizara yake ambao walipata nafasi za masomo Uingereza kwa udhamini wa Serikali ya nchi hiyo.Waziri Mpango awapongeza wafanyakazi wa wizara yake
Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk Philip Mpango ameeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa wafanyakazi katika wizara yake ambao walipata nafasi za masomo Uingereza kwa udhamini wa Serikali ya nchi hiyo. Read more