newsare.net
MECHI tatu ambazo Beno Kakolanya amezicheza akiwa na Simba katika mechi za kimataifa, zimemrejesha kipa huyo kwenye kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kinachojiandaa kuivaa Burundi katika mechi za kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2022.Kakolanya arejeshwa Taifa Stars
MECHI tatu ambazo Beno Kakolanya amezicheza akiwa na Simba katika mechi za kimataifa, zimemrejesha kipa huyo kwenye kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kinachojiandaa kuivaa Burundi katika mechi za kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2022. Read more