newsare.net
Enzi zile Bongo Fleva ilionekana ni muziki wa watoto wa kishua, ilionekana kama wao ndio wenye muziki huo, kwa kuwa wao ndio walioonekana kuutawala, sasa watoto wa Uswahilini nao wakaanza kuwatolea macho, wakawa na maono ya mbali kwamba muziki unaweza kuwaondNDANI YA BOKSI: Muziki wetu si Bongo Fleva tena-2
Enzi zile Bongo Fleva ilionekana ni muziki wa watoto wa kishua, ilionekana kama wao ndio wenye muziki huo, kwa kuwa wao ndio walioonekana kuutawala, sasa watoto wa Uswahilini nao wakaanza kuwatolea macho, wakawa na maono ya mbali kwamba muziki unaweza kuwaondoa kwenye ujinga na umaskini. Read more