newsare.net
Dar es Salaam. Hamad Awadh, aliyeishi kwa kutegemea mashine ya kumsaidia kupumua amefariki dunia jana jioni Oktoba 17, 2019 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila alikokuwa amelazwa. Awadh ambaye baada ya Mwananchi kuandika habari kuhusu ugonjwa unaAliyeishi kwa kupumulia mashine afariki dunia
Dar es Salaam. Hamad Awadh, aliyeishi kwa kutegemea mashine ya kumsaidia kupumua amefariki dunia jana jioni Oktoba 17, 2019 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila alikokuwa amelazwa. Awadh ambaye baada ya Mwananchi kuandika habari kuhusu ugonjwa unaomsumbua alianza kupata misaada kutoka kwa watu na taasisi mbalimbali amefariki dunia wiki mbili tangu alipolazwa hospitalini hapo Oktoba 4, 2019 kutokana na maradhi ya kushindwa kupumua na shinikizo la damu. Read more