newsare.net
Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Kibacha wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro, Happiness Philipo amefariki dunia baada ya kusombwa na maji wakati akivuka mto uliojaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini.Mvua yaua mwanafunzi wilayani Same
Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Kibacha wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro, Happiness Philipo amefariki dunia baada ya kusombwa na maji wakati akivuka mto uliojaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini. Read more