newsare.net
Maofisa katika shule moja nchini India wameomba msamaha baada ya picha ya kushangaza ya wanafunzi waliovalia maboksi vichwani mwao wakifanya mtihani kusambaa katika mitandao ya kijamii.Gumzo laibuka India baada ya wanafunzi kuvishwa maboksi wakati wa mtihani
Maofisa katika shule moja nchini India wameomba msamaha baada ya picha ya kushangaza ya wanafunzi waliovalia maboksi vichwani mwao wakifanya mtihani kusambaa katika mitandao ya kijamii. Read more