newsare.net
Polisi kwa kushirikiana na maofisa wa Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc), wamekamata shehena ya mifuko ya plastiki bando 53 zenye mifuko 6,360. Mifuko hiyo ilikamatwa Oktoba 18 na mtu mmoja anashikiliwa na polisi.NEMC yakamata shehena ya mifuko
Polisi kwa kushirikiana na maofisa wa Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc), wamekamata shehena ya mifuko ya plastiki bando 53 zenye mifuko 6,360. Mifuko hiyo ilikamatwa Oktoba 18 na mtu mmoja anashikiliwa na polisi. Read more