newsare.net
Azam FC imemtangaza kocha wake wa zamani Aristica Cioaba kuwa kocha mkuu mpya akichukua nafasi ya Etienne Ndayiragije anayetarajia kutangazwa kuwa kocha wa kudumu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’.Azam FC yamtambulisha Cioaba rasmi, Ndayiragije atimka
Azam FC imemtangaza kocha wake wa zamani Aristica Cioaba kuwa kocha mkuu mpya akichukua nafasi ya Etienne Ndayiragije anayetarajia kutangazwa kuwa kocha wa kudumu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’. Read more