newsare.net
Taasisi ya Haki Elimu imesema Serikali inaweza kumaliza tatizo la wanafunzi waliofaulu kukosa nafasi za kujiunga na Sekondari ikiwa itatumia takwimu za walio shule za msingi kuandaa miundo mbinu kama ujenzi wa madarasa, madawati na vyoo.Wataka takwimu za shule za msingi kutumika kuandaa miundo mbinu sekondari
Taasisi ya Haki Elimu imesema Serikali inaweza kumaliza tatizo la wanafunzi waliofaulu kukosa nafasi za kujiunga na Sekondari ikiwa itatumia takwimu za walio shule za msingi kuandaa miundo mbinu kama ujenzi wa madarasa, madawati na vyoo. Read more