newsare.net
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo nchini Tanzania, Dk Ally Possi amewataka maofisa mawasiliano wa Serikali nchini humo, kuelezea mazuri yanayofanywa na serikali yao hususan katika miradi ya kimkakati inayotekelezwa, badala ya kuwIsemeeni Serikali mazuri inayofanya, msiwakalie kimya wapotoshaji – Dk Possi
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo nchini Tanzania, Dk Ally Possi amewataka maofisa mawasiliano wa Serikali nchini humo, kuelezea mazuri yanayofanywa na serikali yao hususan katika miradi ya kimkakati inayotekelezwa, badala ya kuwaacha watu wanapotosha ukweli. Read more