newsare.net
Rais wa Tanzania, John Magufuli amewataka viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato mkoani Geita, kuanza mara moja upanuzi wa majengo ya Hospitali ya Wilaya ya Chato kwa kuwa Serikali imeshatoa Sh1 bilioni kwa ajili ya ujenzi huo.Rais John Magufuli aagiza upanuzi wa majengo ya hospitali ya wilaya Chato
Rais wa Tanzania, John Magufuli amewataka viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato mkoani Geita, kuanza mara moja upanuzi wa majengo ya Hospitali ya Wilaya ya Chato kwa kuwa Serikali imeshatoa Sh1 bilioni kwa ajili ya ujenzi huo. Read more