newsare.net
Wananchi wa Tambarare wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wataondokana na kero ya huduma za afya baada ya Mkuu wa wilaya hiyo, Lengai Ole Sabaya kuzindua ujenzi wa kituo cha afya kijiji cha Longoi.Ujenzi kituo cha afya wilayani Hai kuwanufaisha wananchi 19,000
Wananchi wa Tambarare wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wataondokana na kero ya huduma za afya baada ya Mkuu wa wilaya hiyo, Lengai Ole Sabaya kuzindua ujenzi wa kituo cha afya kijiji cha Longoi. Read more