newsare.net
Mwanzoni mwa utawala wa JK, kuna wakati kila kijana alitamani Uzitto Kabwe. Kwa sababu siasa za nchi hii zilisimama kwenye koo lake. Alikuwa mwamba angali mdogo sana akavuka mipaka ya siasa na kuwa kivutio kwa vijana, watoto na wazee. Katika tatu bora ya wanaNdani ya boksi: FA, kweli dunia bila totozi ni uboya
Mwanzoni mwa utawala wa JK, kuna wakati kila kijana alitamani Uzitto Kabwe. Kwa sababu siasa za nchi hii zilisimama kwenye koo lake. Alikuwa mwamba angali mdogo sana akavuka mipaka ya siasa na kuwa kivutio kwa vijana, watoto na wazee. Katika tatu bora ya wanasiasa maarufu alikuwemo. Pamoja na uchanga wake wakitajwa wanasiasa kwa wakati ule angeanza Jakaya, Lowassa kisha Zitto. Read more