newsare.net
MUDA wowote Aston Villa watamtangaza nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Ally Samatta a.k.a Poppa. Ni usajili ambao umeteka hisia za mamilioni ya Watanzania waliopo maeneo mbalimbali duniani pamoja na wale wa nchi jirani za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.Samatta do or die Aston Villa
MUDA wowote Aston Villa watamtangaza nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Ally Samatta a.k.a Poppa. Ni usajili ambao umeteka hisia za mamilioni ya Watanzania waliopo maeneo mbalimbali duniani pamoja na wale wa nchi jirani za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Read more