newsare.net
DUNIA inaenda kwa kasi sana. Katika zama hizi, kila kitu kimebadilika. Kuanzia maisha ya kawaida mpaka yale ya soka. Soka la kisasa limelainishwa na kurahisishwa mno tofauti na lile la kina Pele. Leo makipa wanalindwa dhidi ya hila za washambuliaji watukutu.UKWELI NDIVYO ULIVYO : Huyu aliyemshauri Kichuya kurejea,amewakera wengi
DUNIA inaenda kwa kasi sana. Katika zama hizi, kila kitu kimebadilika. Kuanzia maisha ya kawaida mpaka yale ya soka. Soka la kisasa limelainishwa na kurahisishwa mno tofauti na lile la kina Pele. Leo makipa wanalindwa dhidi ya hila za washambuliaji watukutu. Washambuliaji wanalindwa dhidi ya mabeki wenye roho mbaya. Read more