newsare.net
Kaimu katibu mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata) Mkoa wa Dodoma, Twaha Mwaya amefariki dunia jana Jumapili Januari 19, 2020 katika Hospitali ya Rufaa mkoani humo alikokuwa akitibiwa baada ya hali yake kudhoofu.Kaimu katibu Bakwata Dodoma afariki dunia, Shekh amlilia
Kaimu katibu mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata) Mkoa wa Dodoma, Twaha Mwaya amefariki dunia jana Jumapili Januari 19, 2020 katika Hospitali ya Rufaa mkoani humo alikokuwa akitibiwa baada ya hali yake kudhoofu. Read more