newsare.net
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii nchini Tanzania, Peter Serukamba amesifia uamuzi wa Serikali kujenga Hospitali ya Rufaa ya Kanda wilayani Chato Mkoa wa Geita kuwa utapunguza idadi ya wagonjwa wanaokwenda Hospitali ya Rufaa ya Bugando mkoanBunge la Tanzania lasifia uamuzi Serikali kujenga hospitali rufaa Chato
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii nchini Tanzania, Peter Serukamba amesifia uamuzi wa Serikali kujenga Hospitali ya Rufaa ya Kanda wilayani Chato Mkoa wa Geita kuwa utapunguza idadi ya wagonjwa wanaokwenda Hospitali ya Rufaa ya Bugando mkoani Mwanza. Read more