newsare.net
Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali mkoani Geita zimesababisha daraja la Samazina lililopo wilayani Chato kuvunjika na kukata mawasiliano kati ya kijiji cha Lwantabe na Buziku.Mvua zavunja daraja Chato, zakata mawasiliano ya vijiji
Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali mkoani Geita zimesababisha daraja la Samazina lililopo wilayani Chato kuvunjika na kukata mawasiliano kati ya kijiji cha Lwantabe na Buziku. Read more