newsare.net
Wafanyakazi wanne wa kampuni ya uwindaji ya Green Miles iliyoondolewa katika kitalu cha Lake Natron(east) wilayani Longido wanashikiliwa na polisi kwa madai ya kukaidi agizo la Serikali ya Tanzania kuwaondoka wa hiari katika kitalu hicho.Wafanyakazi wanne Green Miles wakamatwa na polisi
Wafanyakazi wanne wa kampuni ya uwindaji ya Green Miles iliyoondolewa katika kitalu cha Lake Natron(east) wilayani Longido wanashikiliwa na polisi kwa madai ya kukaidi agizo la Serikali ya Tanzania kuwaondoka wa hiari katika kitalu hicho. Read more