newsare.net
Meya wa Ubungo, Boniface Jacob ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa wimbo unaotumiwa katika shughuli na mikutano ya CCM wenye maneno ‘wapinzani tuwalete tuwachane tuwatupe’, unawahamasisha wananchi kuwanyima kura wapinzani.Meya Ubungo autaja wimbo wa CCM mahakamani, adai unawakandamiza wapinzani
Meya wa Ubungo, Boniface Jacob ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa wimbo unaotumiwa katika shughuli na mikutano ya CCM wenye maneno ‘wapinzani tuwalete tuwachane tuwatupe’, unawahamasisha wananchi kuwanyima kura wapinzani. Read more