newsare.net
Makamu mwenyekiti wa CCM- Bara, Philip Mangula kwa mara nyingine amewaonya wanachama wa chama hicho tawala nchini Tanzania kutoanza mapema kampeni za kuwania udiwani na ubunge.Mangula: Ukitaka udiwani, ubunge mapema tutakukata
Makamu mwenyekiti wa CCM- Bara, Philip Mangula kwa mara nyingine amewaonya wanachama wa chama hicho tawala nchini Tanzania kutoanza mapema kampeni za kuwania udiwani na ubunge. Read more