newsare.net
MTANGAZAJI maarufu na fundi wa kutangaza mpira wa miguu nchini kutokea katika kituo cha Azam Tv, Baruani Muhuza ameweka wazi kitu ambacho mashabiki walikuwa hawajui. Amefunguka kwamba yeye ni Simba damu lakini hakuwahi kuwabeba popote pale.Muhuza: Mimi ni Simba damu
MTANGAZAJI maarufu na fundi wa kutangaza mpira wa miguu nchini kutokea katika kituo cha Azam Tv, Baruani Muhuza ameweka wazi kitu ambacho mashabiki walikuwa hawajui. Amefunguka kwamba yeye ni Simba damu lakini hakuwahi kuwabeba popote pale. Read more