newsare.net
Zaidi ya wanafunzi 2,750 wa shule za Msingi Kewanja na Nyamongo katika wilaya ya Tarime mkoani Mara wanalazimika kutumia vyumba vya madarasa 11 kutokana na upungufu wa madarasa unaokabili shule hizo.Uhaba wa madarasa watesa wanafunzi 2,750 Tarime
Zaidi ya wanafunzi 2,750 wa shule za Msingi Kewanja na Nyamongo katika wilaya ya Tarime mkoani Mara wanalazimika kutumia vyumba vya madarasa 11 kutokana na upungufu wa madarasa unaokabili shule hizo. Read more