Diallo akerwa Takukuru kumpekua
newsare.net
Mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza, Anthony Diallo amedai kukerwa na kitendo cha maofisa wa Takukuru kusimamisha gari lake na kulipekua, wakati alipokuwa kwenye harakati za kampeni wilayani Ukerewe.Diallo akerwa Takukuru kumpekua
Mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza, Anthony Diallo amedai kukerwa na kitendo cha maofisa wa Takukuru kusimamisha gari lake na kulipekua, wakati alipokuwa kwenye harakati za kampeni wilayani Ukerewe. Read more