Kikwete amwambia VC mpya UDSM akili za kuambiwa achanganye na zake
newsare.net
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Jakaya Kikwete amemwambia makamu mkuu mpya wa chuo hicho Profesa William Anangisye kuwa akili za kuambiwa achanganye na za kwake hivyo asisikilize maneno ya watu na badala yake afanye kazi na wote.Kikwete amwambia VC mpya UDSM akili za kuambiwa achanganye na zake
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Jakaya Kikwete amemwambia makamu mkuu mpya wa chuo hicho Profesa William Anangisye kuwa akili za kuambiwa achanganye na za kwake hivyo asisikilize maneno ya watu na badala yake afanye kazi na wote. Read more