Magufuli aongoza maelfu kuomboleza askari wa JWTZ waliouawa DRC
newsare.net
Rais John Magufuli jana aliwaongoza maelfu ya Watanzania na wageni waalikwa waliohudhuria sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania kuwaombea askari 14 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliouawa na waasi huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DMagufuli aongoza maelfu kuomboleza askari wa JWTZ waliouawa DRC
Rais John Magufuli jana aliwaongoza maelfu ya Watanzania na wageni waalikwa waliohudhuria sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania kuwaombea askari 14 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliouawa na waasi huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC). Read more