Wanayopaswa kufanya wapigakura Kinondoni, Siha
newsare.net
Kesho Jumamosi wananchi katika majimbo ya Kinondoni, Dar es Salaam; Siha mkoani Kilimanjaro na wenzao katika kata tisa nchini wanakwenda kupiga kura kuchagua wabunge na madiwani. Huu ni uchaguzi mdogo wa kuziba nafasi zilizokuwa wazi lakini uliobeba sura ya kWanayopaswa kufanya wapigakura Kinondoni, Siha
Kesho Jumamosi wananchi katika majimbo ya Kinondoni, Dar es Salaam; Siha mkoani Kilimanjaro na wenzao katika kata tisa nchini wanakwenda kupiga kura kuchagua wabunge na madiwani. Huu ni uchaguzi mdogo wa kuziba nafasi zilizokuwa wazi lakini uliobeba sura ya kitaifa kutokana na jinsi ulivyowakusanya vigogo wa vyama vya siasa kwenye kampeni na hivyo kusababisha ushindani mkali. Read more