Sadifa: Nimesoma sheria nilijua sikuwa na kosa
newsare.net
Wakati mahakama ikimuachia baada ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) kueleza kuwa haina nia ya kuendelea na kesi, aliyekuwa mwenyekiti wa UVCCM, Sadifa Juma Hamis amesema anajua hakuwa na kosa ila anamuachia Mungu.Sadifa: Nimesoma sheria nilijua sikuwa na kosa
Wakati mahakama ikimuachia baada ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) kueleza kuwa haina nia ya kuendelea na kesi, aliyekuwa mwenyekiti wa UVCCM, Sadifa Juma Hamis amesema anajua hakuwa na kosa ila anamuachia Mungu. Read more