Ashtakiwa kwa kumiliki mali ya Sh1.4 bilioni
newsare.net
Meneja wa Fedha wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Prosper Kimaro amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kujilimbikizia mali zenye thamani ya Sh1.4 bilioni zisizolingana na kipato chake halali.Ashtakiwa kwa kumiliki mali ya Sh1.4 bilioni
Meneja wa Fedha wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Prosper Kimaro amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kujilimbikizia mali zenye thamani ya Sh1.4 bilioni zisizolingana na kipato chake halali. Read more