Wasomi waeleza faida, hasara ya ongezeko, punguzo la kodi ya bidhaa
newsare.net
Wasomi na wataalamu wa uchumi wamesema hatua ya Serikali kuongeza kodi kwenye bidhaa zinazotoka nje itafungua fursa ya uwekezaji wa viwanda vya ndani na kukuza biashara nchini.Wasomi waeleza faida, hasara ya ongezeko, punguzo la kodi ya bidhaa
Wasomi na wataalamu wa uchumi wamesema hatua ya Serikali kuongeza kodi kwenye bidhaa zinazotoka nje itafungua fursa ya uwekezaji wa viwanda vya ndani na kukuza biashara nchini. Read more