Jafo ataka shule za Serikali kutamba 10 bora kitaifa
newsare.net
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo amewataka wakuu wa shule za sekondari za Serikali kuhakikisha mwaka 2019, shule hizo zinakuwa nyingi katika orodha ya shule 10 bora kitaifa.Jafo ataka shule za Serikali kutamba 10 bora kitaifa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo amewataka wakuu wa shule za sekondari za Serikali kuhakikisha mwaka 2019, shule hizo zinakuwa nyingi katika orodha ya shule 10 bora kitaifa. Read more