Kigogo Chadema akitaka chama chake kususia chaguzi zote
newsare.net
Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Profesa Abdallah Safari amekishauri chama hicho kususia chaguzi zote nchini na kudai kwanza tume huru ya uchaguzi.Kigogo Chadema akitaka chama chake kususia chaguzi zote
Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Profesa Abdallah Safari amekishauri chama hicho kususia chaguzi zote nchini na kudai kwanza tume huru ya uchaguzi. Read more