Wataalamu wa upasuaji Muhimbili, Moi wakutana
newsare.net
Wataalamu wa chumba cha upasuaji Taasisi ya Mifupa Moi wamekutana na kufanya majadiliano na timu ya chumba cha upasuaji ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa lengo la kupeana mbinu za kimkakati za kuboresha huduma na kubadilishana uzoefu ili kuendelea kuboreWataalamu wa upasuaji Muhimbili, Moi wakutana
Wataalamu wa chumba cha upasuaji Taasisi ya Mifupa Moi wamekutana na kufanya majadiliano na timu ya chumba cha upasuaji ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa lengo la kupeana mbinu za kimkakati za kuboresha huduma na kubadilishana uzoefu ili kuendelea kuboresha huduma za upasuaji katika hospitali zote mbili. Read more