DC aeleza sababu kuzuia mkutano wa Chadema
newsare.net
Mkuu wa Wilaya Bariadi, Festo Kiswaga amesema walikubaliana na viongozi wa Chadema kusogeza mbele mkutano wao kwa kuwa kulikuwa na maandalizi ya ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na kwamba hiyo ndiyo sababu ya kuwazuia kukutana.DC aeleza sababu kuzuia mkutano wa Chadema
Mkuu wa Wilaya Bariadi, Festo Kiswaga amesema walikubaliana na viongozi wa Chadema kusogeza mbele mkutano wao kwa kuwa kulikuwa na maandalizi ya ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na kwamba hiyo ndiyo sababu ya kuwazuia kukutana. Read more