Hoja za CAG zazuia likizo za watendaji mkoa Iringa
newsare.net
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi amezuia likizo za watendaji wakuu wa halmashauri tano za mkoa huo huku akiwapatia siku 30 kujibu hoja za ukaguzi zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).Hoja za CAG zazuia likizo za watendaji mkoa Iringa
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi amezuia likizo za watendaji wakuu wa halmashauri tano za mkoa huo huku akiwapatia siku 30 kujibu hoja za ukaguzi zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Read more