Kortini kwa rushwa ya Dola 2,000
newsare.net
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imemfikisha kortini meneja wa fedha wa kampuni mbili za ujenzi, Sureshbabu Kakolu kwa tuhuma za kutoa rushwa ya Dola 2,000 za Marekani (zaidi ya Sh4 milioni).Kortini kwa rushwa ya Dola 2,000
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imemfikisha kortini meneja wa fedha wa kampuni mbili za ujenzi, Sureshbabu Kakolu kwa tuhuma za kutoa rushwa ya Dola 2,000 za Marekani (zaidi ya Sh4 milioni). Read more