Wajasiriamali waiangukia TFDA
newsare.net
Baadhi ya wajasiriamali wadogo wadogo katika mikoa ya Lindi, Ruvuma na Mtwara wameiomba Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) kuhakikisha wanawawekea nembo katika bidhaa zao ili kuwaondolea hofu walaji.Wajasiriamali waiangukia TFDA
Baadhi ya wajasiriamali wadogo wadogo katika mikoa ya Lindi, Ruvuma na Mtwara wameiomba Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) kuhakikisha wanawawekea nembo katika bidhaa zao ili kuwaondolea hofu walaji. Read more