Najisikia amani kuwa CCM-Gekul
newsare.net
Oktoba 13 mwaka huu aliyekuwa mbunge wa jimbo la Babati Mjini Mkoani Manyara, Pauline Gekul aliandika barua kwa spika wa Bunge, Job Ndugai ya kujiuzulu nafasi hiyo, akajivua uanachama wa Chadema na nafasi zote alizokuwa nazo na kuomba kujiunga na CCM.Najisikia amani kuwa CCM-Gekul
Oktoba 13 mwaka huu aliyekuwa mbunge wa jimbo la Babati Mjini Mkoani Manyara, Pauline Gekul aliandika barua kwa spika wa Bunge, Job Ndugai ya kujiuzulu nafasi hiyo, akajivua uanachama wa Chadema na nafasi zote alizokuwa nazo na kuomba kujiunga na CCM. Read more