Bavicha kusherehekea gerezani
newsare.net
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema (Bavicha), Patrick Ole Sosopi amesema kufuatia kuahirishwa kwa sherehe za Uhuru, wamepanga kutembelea magereza mbalimbali nchini ili kuzungumza na wafungwa na mahabusu.Bavicha kusherehekea gerezani
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema (Bavicha), Patrick Ole Sosopi amesema kufuatia kuahirishwa kwa sherehe za Uhuru, wamepanga kutembelea magereza mbalimbali nchini ili kuzungumza na wafungwa na mahabusu. Read more