Hivi hapa vikwazo vya elimu wilayani Momba
newsare.net
Kwa mujibu wa takwimu za hali ya elimu zilizotolewa na Twaweza mwaka 2015 zinaonyesha kuwa ni asilimia 1.8 pekee ya wanafunzi katika Wilaya ya Momba ndiyo huanza shule wakiwa na umri wa kati ya miaka 5 hadi 6.Hivi hapa vikwazo vya elimu wilayani Momba
Kwa mujibu wa takwimu za hali ya elimu zilizotolewa na Twaweza mwaka 2015 zinaonyesha kuwa ni asilimia 1.8 pekee ya wanafunzi katika Wilaya ya Momba ndiyo huanza shule wakiwa na umri wa kati ya miaka 5 hadi 6. Read more