Ukusanyaji wa mapato, watendaji wafunguka
newsare.net
Baada ya Rais John Magufuli kuzitaja mamlaka kadhaa kuchangia kudumaza mazingira ya ufanyaji biashara na uwekezaji nchini hivyo kuzorotesha ukusanyaji mapato, mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Deusdedit Kakoko amesema wadau wake wa karibuUkusanyaji wa mapato, watendaji wafunguka
Baada ya Rais John Magufuli kuzitaja mamlaka kadhaa kuchangia kudumaza mazingira ya ufanyaji biashara na uwekezaji nchini hivyo kuzorotesha ukusanyaji mapato, mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Deusdedit Kakoko amesema wadau wake wa karibu wanawapunguzia kasi ya ufanisi. Read more