Utapiamlo ni zaidi ya lishe duni
newsare.net
Utapiamlo ni hali mbaya ya lishe ambayo inaweza kuwa pungufu au iliyozidi. Katika nchi zinazoendelea kama Tanzania, utapiamlo ulioenea zaidi ni ule wa ulaji duni, ambao umekuwa ni changamoto kubwa katika kuboresha afya ya jamii.Utapiamlo ni zaidi ya lishe duni
Utapiamlo ni hali mbaya ya lishe ambayo inaweza kuwa pungufu au iliyozidi. Katika nchi zinazoendelea kama Tanzania, utapiamlo ulioenea zaidi ni ule wa ulaji duni, ambao umekuwa ni changamoto kubwa katika kuboresha afya ya jamii. Read more