Hukumu ya Tido Mhando sasa Januari 25
newsare.net
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Januari 25, 2019 kutoa hukumu ya kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando.Hukumu ya Tido Mhando sasa Januari 25
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Januari 25, 2019 kutoa hukumu ya kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando. Read more